Gullet anasema ingawa makabila hayo mawili yamekuwa yakipigana mara kwa
mara kugombea ardhi na vyanzo vya maji lakini ghasia za mwaka huu
zinaweza kuwa na uchochezi wa kisiasa.
Ijumaa wajumbe 11 kutoka kabila la Pokomo waliuwawa na jumuiya ya Orma
katika tukio la kujibu mashambulizi. Watu wa kabila la Pokomo mapema
waliwauwa wajumbe 52 wa Orma.
mambo haya mpaka lini kenya?
ReplyDelete