Pages

Saturday

ajali mbaya ya gari yauwa polisi singida


picha kwa hisani mjengwablog

gari la polisi  lenye namba PT 1149 wakitokea Morogoro mjini, wakisafirisha mwili wa polisi Regu Kamamo kwenda mkoani Mara.

Sinzumwa amesema ajali hiyo imetokea karibu na kambi ya Wachina, eneo la kijiji cha Manguanjuki, leo saa 5.30 asubuhi, kwa gari kupinduka kutokana na sababu ambayo haijajulikana. 
Kamanda wa polisi mkoa mkoa wa Singida, Linus Sinzumwa alisema kuwa gari hilo lilipata ajali katika kambi ya Wachina iliyopo eneo la Manguajunki nje kidogo ya mji wa Singida.Aliwataja walifariki katika ajali iliyohusisha gari la polisi ni, staff sajenti Rose Mary Nyaruzoki (53), Nyamwenda Juma, Rehema Juma.

Alisema majeruhi wanane  wa ajali hiyo wamelazwa katika hospitali ya mkoa wa Singida, na hali zao zinaendelea vizuri.

No comments:

Post a Comment