Pages

Wednesday

KATIBU WA MUFTI ZANZIBAR, SHEIKH FADHIL SORAGA AMWAGIWA TINDIKALI

Katibu wa Mufti wa Zanzibar, Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba cha Huduma ya Kwanza katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa Tindikali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazoezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.

picha kwa hisani ya chumablog

1 comment: