Pages

Monday

Viongozi wa Kenya waliapa Jumapili kwamba watawasaka waasi wa kundi la Al-Shabaab kutoka Somalia kufuatia miripuko miwili iliyosababisha kifo cha mtu mmoja na watu 31 kujeruhiwa 
Watu wakikusanyika baada ya mripuko wa Mombasa.

“Kenya ni nchi Salama, mtu asiwatishiye watali. Watali waendele kwenda Kenya.”

No comments:

Post a Comment