Pages

Thursday

Washindi Wa Redd's Miss Kinondoni Wazawadiwa


Mkuu wa Itifaki wa Miss Tanzania Albert Makoye akifungua mashindano ya Redd's Miss Kinondoni Talent, pembeni yake ni Ssebo ambaye ni mmoja kati ya mwanabodi wa Redd's Miss Kinondoni 2012. Redd's Miss Kinondoni linatarajiwa kufanyika Ijumaa tarehe Septemba 14, 2012 katika Ukumbi wa Cassa Complex uliopo Mikocheni, Dar
 
                                    Mshiriki namba 6, Irene akicheza
 
                                       Mshiriki namba 2, Ester Musa akiimba
 Mshiriki namba 4, Diana Hussein akionyesha jinsi ya kubuni vazi.
 
mshiriki namba 9 Brigitter Alfred akicheza nyimbo za kihindi 

No comments:

Post a Comment